-->

TID, Nature, Inspekta Haroun, Adili Kusikika Kwenye Soundtrack ya ‘Karibu Kiumeni’

‘Karibu Kiumeni’ haitarajiwi tu kuja kuwa filamu ya Bongo yenye mafanikio zaidi kuwahi kutokea, bali pia itakuwa filamu ya kwanza iliyokutanisha mastaa wengi zaidi wa Bongo Flava kurekodi original soundtrack yake.

14515676_717016541780719_8093899339992137728_n

P-Funk Majani ndiye mtayarishaji mkuu wa soundtrack ya filamu hiyo inayotarajiwa kutoka December mwaka huu. Soundtrack itajumuisha orodha ndefu ya mastaa wa Bongo Flava

Karibu Kiume ni filamu iliyochezwa na Ernest Napoleon (Going Bongo), Irene Paul, Idris Sultan na mastaa wengine na inatarajiwa kutoka December mwaka huu.

Napoleon ameshare picha Instagram akiwa na waimbaji nguli wa Bongo Flava watakaorekodi soundtrack hiyo inayosimamiwa na P-Funk Majani wa Bongo Records.

14488313_1814478955461842_7566158987297554432_n

Kutoka Kushoto: Inspekta Haroun, Adili, Ernest Napoleon, Juma Nature na P-Funk aliyekatwa

“#kiumenimovie all star soundtrack by #pfunkmajani loading #jumanature #inspektaharun #tid #youngkiller #dogojanja #adili #msagasumu #damiansoul,” ameandika Napoleon kwenye picha hiyo.

Wasanii watakaosikika ni pamoja na TID, Inspekta Haroun, Juma Nature, Adili, Young Killer, Msagasumu, Damian Soul na Adili.

14504839_1704131339914051_3020845503676940288_n

Napoleon akieleza jambo. Pembeni yake ni Juma Nature

14540419_1816035215308570_2201581797634998272_n

Crew nzima itakayohusika kupika soundtrack ya Karibu Kiumeni ikiwa nje ya studio za Bongo Records jijini Dar es Salaam

14549895_1582917945351423_2561635855315763200_n

Kutoka Kushoto: TID, Rich One na Damian Soul

Kwenye picha hiyo juu, TID ameandika: We Back in Bussiness Once Again …Long Live MajaNi,Tanzania Need New Sound Fix this Problem

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364