-->

VIDEO: Jaydee Kutambulishwa Ukweni

Mwanamuziki mkongwe katika muziki wa bongo fleva, Lady Jaydee amefunguka na kusema mwezi wa nne mwaka huu anategemea kutambulishwa ukweni kwa mchumba wake Spicy nchini Nigeria.

Mbali na hilo Lady Jaydee amewataka watanzania pamoja na vituo mbalimbali vya radio kuacha uchonganishi kwa kuwapambanisha wasanii kwani kwa kufanya hilo ndiyo inajenga chuki na kufanya mashabiki waanze kuwapambanisha wasanii.

Tazama video hii hapa

eatv.tv

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364