-->

Wema Sepetu: Munalove ni Mshamba

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambae kwa sasa ametibuana na aliekuwa rafiki yake Munalove amesema kuwa Muna ni msamba.

wema-na-muna

Wema Sepetu, Mama Wema na Munalove

Akihujiwa na e newz juu ya  bifu lake na Muna, Wema alidai kuwa  Kudai kuwa yeye huwa hadeal na washamba akaongeza kusema kuwa urafiki na Muna ulikuja akijua Muna ni Mshamba lakini alikubali kuweka Ustaa Wake pembeni na kukubali awe Rafiki yake lakini mwisho wake ndio yaliyotokea….

Me I dont deal with washamba, i knew she was mshamba alivyokuja lakini nilisema nisiweke ustaa nimchukulie kama vile jinsi alivyo’-Wema alisema.

By Barafu on JF

 

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364