-->

Picha: Usiku wa ‘Muzika Vestival’ Mwanza, Tekno, Juma Nature na Ommy Dimpoz Wafanya Kweli

Kwenye usiku wa Valentine Day Mwanza nao walikuwa na burudani ya nguvu kutoka kwa mastar wa Nigeria na hapa Tanzania, Nigeria Tekno na Seyi Shay wametoa burudani kwa mara ya kwanza kwa watu wangu wa Mwanza hapa nyumabni tulikuwa na wakali Juma Nature na Ommy Dimponzi, Muzika festival ndio walitusogeza jembe beach pamoja kutazama burudani ya nguvu…team ya millardayo.com imezipata picha za tukio karibu kuzitamaza.

1

3X6A3523

Watu wangu na shangwe la Muzika Festival

3X6A3541

3X6A3550

3X6A3427

Juma Nature akawasili Muzika Festival

3X6A3429

3X6A3434

Ommy Dimpozi na Seyi Shay

3X6A3499

ommy344

ommy34

ommy

MillardAyo.com

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364