Ferooz Awashukia Msahabiki Wanaodai Anatumi...
Ferooz amewajia juu mashabiki wake katika mitandao ya kijamii baada ya kuambiwa anatumia madawa ya kulevya. Ferooz amedai baada ya Chidi Benz kuonekana afya yake imedhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya basi mashabiki wanamchukulia kila msanii aliyepungua mwili wake anatumia unga. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Ferooz ameandika: Tatizo la wabongo mnapenda […]
Read More..





