-->

Daily Archives: April 5, 2016

Gadner G Habash Arejea Clouds FM

Post Image

Mtangazaji mkongwe nchini, Gadner G Habash, amerejea tena kwenye kituo chake cha awali, Clouds FM. Gadner anajiunga tena na redio hiyo akitokea EFM alikokuwa akifanya kipindi cha jioni cha Ubaoni. Kabla ya EFM, Gadner alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Maskani cha Times FM. Mtangazaji huyo anatarajiwa kurejea kwenye kipindi chake cha jioni, Jahazi. Mtangazaji huyo […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Kundi la Elephant na New ...

Post Image

Wasanii wa kundi la Elephant na New Brain wakitoa sadaka katika kituo cha watoto waishio katika mazingira magumu Magomeni Mikumi. wakiongozwa na kampuni ya Steps Entertainment kwaajili ya uzinduzi wa filamu mpya ya QUEEN ELIZABETH.

Read More..

Nuh Mizwanda Atoboa Alichokuwa Akikifanya k...

Post Image

Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Shilole, Nuh Mziwanda amedai wakati yupo kwa Shilole alikuwa hafanyi muziki bali alikuwa akifanya mapenzi.   Akizungumza katika kipindi cha Clouds E, Jamatatu hii, Nuh alisema hali hiyo ilimfanya apotee kimuziki na kukiki zaidi kimapenzi. “Kwa Shilole nilikuwa nikifanya mapenzi sio muziki, ndio maana ukaona kwenye upande wa muziki sikuwa […]

Read More..

Filamu ya Baba na Mwana ni Kali Sana – Ki...

Post Image

KINYE Mkali mkurugenzi wa Kinye Mkali Picters amejisifia kuwa filamu yake ya Baba na Mwana ni sinema ya kipekee na haina mfano wake kwani ni kazi ambayo ameifanya kwa umakini mkubwa na itasambazwa na kampuni hiyo nchi nzima. “Kila siku tunajitahidi kufanya kitu kilicho bora zaidi hasa katika masuala ya burudani na elimu kwa jamii, […]

Read More..

Mzee Kambi Kuachia Filamu ‘Dar to Washing...

Post Image

Msanii wa filamu, Hashim Kambi amesema filamu yake mpya ‘Dar to Washington DC’ ambayo ilikuwa ikiandaliwa nchini Marekani huku ikishirikisha wasanii wa Tanzania na Marekani imekamilika. Mwigizaji huyo ambaye bado jupo nchini Marekani, ameuambia mtandao wa Filamucentral kuwa, yupo mbioni kurudi Dar baada ya kukamilisha kazi hiyo. “Ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tumemaliza kushoot […]

Read More..