Wasanii Watakiwa Kuigiza Filamu Hifadhi za ...
Wasanii wa Filamu nchini kote wametakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika maeneo ya hifadhi za taifa kwenye shughuli zao za kurekodi filamu badala ya kutumia majengo ya kifahari ili kutangaza utalii kwa kupitia kazi zao. Hayo yameelezwa na Meneja Mawasiliano wa Filamu lilifonyika wa Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA ,Pascal Shelutete wakati akizungumza […]
Read More..





