-->

Daily Archives: April 10, 2016

Wasanii Watakiwa Kuigiza Filamu Hifadhi za ...

Post Image

Wasanii wa Filamu nchini kote wametakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika maeneo ya hifadhi za taifa kwenye shughuli zao za kurekodi filamu badala ya kutumia majengo ya kifahari ili kutangaza utalii kwa kupitia kazi zao. Hayo yameelezwa na Meneja Mawasiliano wa Filamu lilifonyika wa Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA ,Pascal Shelutete wakati akizungumza […]

Read More..

Zamaradi Mtetema Amwagia Sifa Hizi Riyama

Post Image

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, muuandaaji wa filamu na matantazaji wa kipindi cha Take One  cha maswala ya filamu , Zamaradi Mtetema  amemwagia sifa muigizaji wa kike, Riyama Ally kuwa ni moja ya waigizaji wa kike wenye uwezo na nguvu sokoni. “Anafahamika zaidi kwa uigizaji wake… MUIGIZAJI wa kike mwenye uwezo wa kusimama […]

Read More..

Picha: Shilole Ajichora Jina Lake Kwenye Ta...

Post Image
Read More..

Jinsi Ya Kutambua Simu Feki

Post Image

1. Kabla hujanunua simu mpya hakikisha unaandika namba hii *#06#, kwenye simu hiyo au ambayo tayari umenunua. 2. Ukishaandika itaonyesha namba ya pekee (serial number) au IMEI (International Mobile Equipment Identity) ambayo ni lazima ziwe tarakimu 15 au zaidi na ni lazima ianze na 35. 3. Angalia kwa makini kama namba unazoziona zinafanana moja kwa […]

Read More..

Soba Wazungumzia ‘Ubwiaji’ wa Chid Benz

Post Image

Ni wiki kadhaa tangu mkali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ apelekwe kwenye Kituo cha Life & Hope Rehabilitation Organization (Soba House) kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kupata huduma ya kuachana na utumiaji wa dawa za kulevya. Chid Benz alipelekwa kwenye kituo hicho chini ya uangalizi wa Promota, Babu […]

Read More..

Gardner Ashindwa Kitendawili cha ‘NDI...

Post Image

Ilikuwa ni mwendo wa majibu ya mkato na mafumbo kutoka kwa Gadner tulipotaka atupe mtazamo wake juu ya hit song “NDI NDI NDI” ya Jay Dee. Camera ya ENewz ilikutana na aliyekuwa mume na pia meneja wa mwanadada Lady Jay Dee, Gadner G Habash na kutaka kupata mtazamo wake juu ya wimbo mpya wa Lady […]

Read More..

Juma Nature Aniache Nitingishe – KR Mullah

Post Image

Msanii KR Mullah amefunguka baada ya msanii mwenzake wa kundi la Wanaume Halisi Juma Nature, kusema kitendo cha KR kujiunga na Radar Entertainment, huenda kitamuharibu asipokuwa makini. Akiongea na East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo, KR Mullah amemtaka Juma Nature amuache kwa sasa afanye kazi, kwani kwa sasa anataka kubadilisha ladha ya muziki […]

Read More..