NDANI YA BOKSI: Ukimfuatilia Diamond…...
Kuna njia mbili pekee za kuishi maisha yako. Moja ni kama hakuna kitu cha miujiza. Nyingine ni kama kila kitu ni miujiza. Watanzania na wanamuziki wote wa Bongo wamesimama wakimtazama Diamond katika kiwango chake cha juu kabisa cha muziki. Yuko juu sana. Ukifanya kukaa na kubishana kila siku, unatoa maombi kwa shetani. Waliobishana mwanzoni wote […]
Read More..





