-->

Monthly Archives: August 2017

Mahakama Yakataa Vielelezo Kuhusu Kesi ya W...

Post Image

Mahakama ya hakimu mkaazi Kisutu Jijini Dar es salaam imekataa kupokea vielelezo vya ushahidi wa msokoto na vipisi viwili vya bangi vilivyotolewa na upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Wema na wenzake. Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba alisema Mahakama haiwezi kupokea vielelezo hivyo kwa sababu vina kasoro “Nakubaliana na hoja kwamba msokoto wa bangi na […]

Read More..

Msisikilize Maneno ya Watu-Chid Benz (Video...

Post Image

Rapa Chid Benz ambaye sasa anafanya poa na wimbo wake ‘Muda’ akiwa ameshirikiana na mkongwe Q Chillah amefunguka na kuwataka mashabiki wake kutosikiliza maneno ya watu na kudai wapinzani wake wamekuwa wakimuongelea vibaya kwa lengo la kumchafua. Chid Benz anasema muda mwingine kwenye maisha yake ya kila siku amekuwa ni mtu wa utani sana kiasi […]

Read More..

Wolper: Nikiangalia Picha Hii Nalia Kabisa

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameguswa na tatizo la ukosefu wa ajira ambalo vijana wengi wanakumbana nalo kwa sasa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper ameweka picha ya vijana waliojitokeza jana katika usaili wa kazi TRA na kuandika ujumbe mrefu akieleza namna alivyoguswa; Nikiangalia picha kama hizi naumiaga sana nanilivyo na machozi ya karibu basi […]

Read More..

Alikiba Amzungumzia Chid Benz na Sakata la ...

Post Image

Msanii Alikiba amejitosa kwenye suala la dawa za kulevya kwa kumtetea aliyekuwa swahiba wake Chid Benz kwa kusema anapofungwa mtumiaji wa dawa za kulevya ni kumtesa bali anapaswa kupelekwa katika vituo vya afya ili aweze kupatiwa tiba mbadala. Alikiba ameeleza hayo baada ya Chid Benz kukamatwa na dawa za kulevya hivi karibuni na Jeshi la […]

Read More..

Magazeti ya Leo August 31

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Machinga Wahahaa Kuitafuta Filamu ya Bei Ka...

Post Image

BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu staa wa filamu Bongo Simon Mwapagata ‘Rado’ amerudi kwa nguvu zote akija na filamu kubwa ijulikanayo kwa jina la Bei Kali, filamu hiyo ambayo imezua simulizi mitaani huku wapenzi wa filamu wakiomba kampuni itakayosambaza sinema hiyo ya Papazi Entertainment iitoe haraka. Mmoja kati ya wauzaji wa filamu za […]

Read More..

Dogo Janja Amfungukia Irene Uwoya, ‘Nampe...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya. Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya leo ‘Ngarenaro’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na hakuna kilichokuwa kinaendelea kati yao ingawa watu waliwachukulia vinginevyo. “Nampenda sana yule dada […]

Read More..

Amini Afungukia Kutompongeza Linah

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Amini amefunguka mambo kadhaa kuhusu aliyekuwa mpenzi wake Linah tangu alipojifungua. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Yamoyoni’, ameiambia XXL ya Clouds Fm aliposikia Linah amejifungua alimuombea tu ila hakuweza kumpatia zawadi yoyote. “Sikuwahi kumpongeza wala kumpelekea zawadi kwa sababu sifahamu anapokaa, vile vile sina mawasiliano naye. […]

Read More..

Chid Benz: Tupac yupo Cuba na Ninawasiliana...

Post Image

Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni. Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na  eNewz alisema kuwa  “Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na […]

Read More..

Wolper Hafikirii Kabisa Kujibusti

Post Image

JACQUILINE Wolper, mmoja ya nyota wa kike wa filamu nchini, ametamba anajiamini kwa urembo alionao wa rangi na sura na kwamba hana mpango wa kujitengeneza. Wolper alisema kuwa hana muda wa kutumia dawa yoyote kukuza makalio yake au chochote mwilini mwake kama kinadada wengine wafanyavyo kwani anaukubali uumbaji wa Mungu. “Kuna watu wanajibusti mzee, utaona […]

Read More..

Alikiba Atoboa sababu ya Baraka The Prince ...

Post Image

Baada ya muda mrefu wa maswali juu ya sababu iliyomfanya msanii Baraka The Prince kutoka kwenye lebo kubwa ya muziki ambayo ilimsaini ya Rockstar4000, hatimaye mmoja wa mabosi wa lebo hiyo msanii Alikiba aweka wazi kila kitu. Akizungumza kwenye Planet bongo ya East Africa Radio alipokwenda kutambulisha wimbo wake mpya wa ‘seduce me’, Alikiba amesema […]

Read More..

RC Makonda kasitisha bomoabomoa ya zaidi ya...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo August 30, 2017 ametembelea Bonde la Mto Msimbazi lililopo katika Wilaya ya Kinondoni ambako wananchi walitangaziwa kuwa nyumba zao zaidi ya 17,000 zitabomolewa. RC Makonda amewaondoa hofu wananchi ambao walikuwa na hofu ya kubomolewa akisema kuwa hakuna atakayefanya hivyo kwa kuwa hawakufuata utaratibu na kuagiza […]

Read More..

Alikiba, Diamond, Lulu, Millard Ayo Watajwa...

Post Image

Mastaa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania, Alikiba na Diamond Platnumz wametajwa kwenye orodha ya vijana 100 waliochini ya miaka 40 wenye ushawishi zaidi barani Africa kwa mwaka 2017. Kwenye orodha hiyo iliyotolewa leo na mtandao wa African Youth Awards imemtaja pia muigizaji wa filamu nchini Tanzania mrembo Elizabeth ‘Lulu’ Michael na mwanamitindo Flaviana Matata na mwana habari […]

Read More..

Young Dee Aomba Radhi Kuhusu Picha ya Utupu

Post Image

Rapper Young Dee amewaomba radhi mashabiki wake kutokana na picha ya utupu iliyosambaa leo mitandaoni , akiwa na Amber Lulu ambaye ndiye aliyekaa utupu. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Young Dee ameandika kwamba picha hiyo imevujishwa na watu wasiojulikana, ambayo ilikuwa na lengo la tangazo la nguo. “Nasikitishwa kwa picha inayosambaa mitandaoni.. imevuja bila ridhaa […]

Read More..

Nisha Awatolea Uvivu Walioponda Shepu Yeka

Post Image

Msanii wa filamu za kibongo Nisha bebe amewawakia mashabiki wanaomsema vibaya kwamba hana shepu, na kusema kuwa wasimlazimishe kuishi maisha feki. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Nisha ameandika ujumbe mrefu akionyesha kushangazwa na watu hao, huku akisema kwamba kuwa na shepu kwake sio kitu cha msingi, la muhimu ni akili ambazo amepewa na Mungu. “Halafu […]

Read More..

Jux Aendelea Kumng’ang’ania V Money

Post Image

LICHA ya ‘couple’ ya mastaa Vanessa Mdee ‘V Money’ na Juma Mussa ‘Juma Jux’ kufikia mwisho, Jux ameibuka na kusisitiza kuwa, atendelea kuwa karibu na mwanadada huyo kwa kuwa bado anampenda. Jux alisema ni kweli wameachana, baada ya kushindwa kufikia mwafaka wa tatizo lao, lakini wataendelea kuwa karibu kutokana na ustaa wao na urafiki. Akizungumza […]

Read More..

Mkojo wa Masogange Gumzo Mahakamani

Post Image

MAHAKAMA ya Hakimu Mkasi Kisutu ilipokea ripoti ya uchunguzi wa sampuli ya mkojo ya Msanii Masogange kutoka kwa Mkemia Elias Mulima kwenda kwa ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kama kielelezo. Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya mawakili wa Masogange, Nehemia Nkoko na Ruben Simwanza, kupinga mahakama isipokee ripoti […]

Read More..

Simuogopi Simba- Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba ambaye ni shabiki  wa klabu ya Yanga, amesema haiogopi wala kuihofia timu ya Simba hata kama wameanza vizuri kwa kugawa kichapo katika mechi za awali Ligi Kuu huku akidai mpira unadunda na muda wowote Simba itapotea. Alikiba ameeleza hayo muda mchache alipomaliza mahojiano kwenye kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio akiwa ameongozana na mtayarishaji wake […]

Read More..