MC Pilipili Asimulia ajali Ilivyomuacha Kit...
Dar es Salaam. Mshereheshaji maarufu nchini Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili ameyataja mambo makubwa matatu aliyojifunza baada ya kupata ajali ya gari Septemba 12 mwaka huu katika Kijiji cha Nyasamba mkoani Shinyanga. Akizungumza na MCL Digital leo, mchekeshaji huyo amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuwakwepwa waendesha baiskeli waliokuwa pande mbili tofauti za barabara. […]
Read More..





