Nawal Afuta Tattoo ya Nuh Mziwanda!
Ni utamaduni wa mastaa wa Bongo, mara tu wanapoanzisha uhusiano na kukolea kwenye penzi jipya, kujichora tattoo ya jina la mpenzi huyo lakini dhoruba inapolipitia penzi lao, hutafuta kila njia za kufuta tattoo hiyo. Hili limejidhihirisha kwa aliyekuwa mke wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, anayefahamika kwa jina la Nawal, ambaye kwa sasa amefuta […]
Read More..





