Masogange Ashindwa Kujitetea, Hakimu Ampa O...
Kesi ya matumizi ya madawa ya kulevya inayomkabili Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ambapo jana Alhamisi ilibidi aanze kujitetea baada ya kukutwa na kesi ya kujibu lakini alishindwa kufanya hivyo kwa kile ilichodaiwa na mawakili wake kuwa walishindwa kumuandaa kutokana na kupatwa na msiba. Masogange akiwa mbele […]
Read More..





