-->

Amanda Awafungukia Mastaa Wabwia Unga

AMANDA Poshi, staa wa sinema za Kibongo, amewabwatukia baadhi ya mastaa wanaojitangaza kuwa wanatumia madawa ya kulevya baada ya kuathirika kuwa ni wanafiki.

AMANDA POSH

AMANDA Poshi

Alisema angewaona wana hoja kama wangejitangaza kipindi walipoanza kuyatumia kuliko wakiona yanawashinda ndiyo wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kuomba msaada.

“Yaani kila siku wanaambiwa kuwa usipite hapa kuna hatari lakini wao wanakimbilia kwa siri, huu si upuuzi, wakitaka wakiwa katika hatua ya mwanzo wajitangaze ili tuweze kuwasaidia mapema,” alisema Amanda ambaye kwa upande wake alidai kuwa hajawahi kutumia madawa hayo tangu azaliwe.

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364