-->

Bongo Movie Premiere: Shamsa Ford na Odama wa Fungua Dimba

Ilikuwa ni siku ya jumatanowiki hii  ndani ya Escape One, pale Steps Entertaiment ilipokusanya wasanii wa Tanzania na Burundi katika uzinduzi wa filamu ya Najuta Shamsa na Mkwe ambayo imetengeneza na Odama. Wasanii waliokuwepo ni Dude, Jb, Rashid Mrutu, Faridi Uwezo, Omary Clayton, Rose Ndauka, Wastara, Shamsa Ford, Odama, Mussa Banzi na wengine kibaoooooo.

dude34

Waigizaji Dude na Odama katika pozi

shamsa355

Shamsa Ford

Rose-Ndauka-23

Rose Ndauka

clayton-90

Ommy Clayton mtunzi, na mwigizaji wa filamu

Hussein-Hamis-32

Chodo aka Tajiri mfupi mwigizaji wa filamu

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364