-->

Dully Sykes Afunguka Kumkubali Zaidi Diamond Kuliko Wasanii Wengine

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes amefunguka sababu ya kumkubali zaidi Diamond Platnumz kuliko wasanii wengine.

dully7

Dully Sykes

Muimbaji huyo ameiambia Times FM kuwa anamkubali zaidi Diamond kwakuwa amekuwa akimheshimu zaidi.

“Watu wanalalamikaga ‘oooh’ namsifia sana Diamond, nisiongee uongo nakubali wote wananiheshimu lakini Diamond ananiheshimu na kunionesha nidhamu zaidi,” amesema Dully.

Dully ameongeza kuwa kuna kipindi Diamond aliwahi kuinama mbele za watu na kumfunga kamba zake za viatu zilizokuwa zinafunguka.

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364