-->

Filamu ya ‘Afande Chacha’ Kuonyeshwa Sibuka Maisha Ijumaa Hii

Afande Chacha ni moja kati ya filamu bora zaidi kutoka Step Entertainment iliyojumuisha mastaa wakali wa bongo movie wakiweno Riyama Ally, Hemmed  PHD na Mzee Majuto.

afande043

Kwa mara ya kwanza itaonyeshwa ijumaa tarehe 14 mwezi  kupitia Sibuka maisha channel 111 kwenye startimes kuanzia saa 3 usiku ni bongo movie bandika bandua.

sibuka8932

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364