-->

Hemed Adai ‘Kuwachapa’ Mastaa Wengi

Msanii wa filamu Hemed Suleiman amefunguka kwa kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu lakini wengi amewachapa.

HEMEDY89

Hemed Suleiman

Mwigizaji huyo ni miongoni mwa wasanii wa filamu mwenye mvuto kutoka na kujiremba kwake pamoja uvaaji.

Akiongea na Times Fm hivi karibuni, Hemed aliulizwa kuhusu kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu.

“Ngoja niseme hili sijawahi kuwa kwenye mahusiano na Mastaa, ila kuwachapa ni wengi sana” Alisema.

Katika hatua nyingine, Hemed alisema hapendi kufanya filamu ila pesa ndio inamfanya kuwa mwigizaji.

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364