-->

Jb Awashukia Wasanii Wenzake Kuhusu Hili!

JACOB Stephen ‘JB’ msanii mahiri katika tasnia ya filamu Bongo amewashukia wasanii wenzake kwa kusema kuwa wengi hawapo makini na tasnia jambo ambalo linawafanya kupoteza mapato mengi kutokana na tasnia hiyo bila sababu.

jb19

JACOB Stephen ‘JB’

Ukweli ni kwamba wasanii wengi hawapo serious na kazi kitu kinachofanya tukose pesa kwenye filamu, na ukitaka kutambua hilo angalia page zao za Instragaram wanachoposti,”anasema JB.

JB amesema kuwa mara nyingi wasanii wamekuwa wazito sana katika shughuli zinazowahusu wao kujitokeza kushiriki jambo ambalo linafanya mambo yao yaongelewe na watu ambao si wadau wa filamu JB alisema hayo Suncrest Cinema ilipoonyeshwa sinema ya Nimekosea wapi?

Siku hiyo pamoja na tukio hilo kuwa ni wasanii lakini hakukuwa na waasanii waliojitokeza zaidi ya wapenzi wa filamu na wadau wengine kama watengenezaji na wanahabari tu katika uzinduzi wa uonyeshaji wa filamu kwenye majumba ya sinema.

Ripoti na Filamucentral

FANYA BISHARA YA KUUZA FILAMU KUTOKA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT

PIGA NAMBA HIZI: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364