-->

Kumteka Mwanamke Mwenye Mapenzi ya Kweli ni Rahisi-Dude

dude

“Kumteka mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni rahisi sana kuliko wengi wanavyofikiri, ni vitu vidogo tu, muonyeshe mapenzi ya kweli, muweke wazi kwa kila kitu chako,jiamini hata km huna uwezo sana, mjali na umpende, ukifanya hayo umeishika roho yake, walimwengu wataongea yao, watapiga kelele hatoona wala kusikia, lkn ukimdnganya na ukamletea maisha feki, na ukadhani hajui kuwa unamdanganya umeumia, anaweza asikuambie uongo wako akakuangalia tu, lkn anajua kuwa unamdanganya, MBAYA SANA!.”

Kulwa Kikumba ‘Dude’ @dudebongo on Instagram

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364