-->

Lulu: Sasa Nahitaji Kupata Mtoto

Staa mrembo wa Bongo Movie amefunguka kuwa kwasasa anahitaji kuwa na mtoto.

LULU32

Muigizaji huyo ameandika ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akimuomba Mungu huku akidai kuwa yupo tayari kwa sasa na anahitaji mtoto.

“Okay…I’m ready noooow????and I want a Baby Boy???In Jesus Name?,” ameandika Lulu kwenye mtandao huo.

Kwa sasa muigizaji huyo yupo kwenye mahusiano na bosi wa EFM, Majay.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364