-->

Mama Lulu:Nasubiri Ndoa ya Lulu

MAMA wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila amefunguka kuwa anasubiri ndoa ya mwanaye kwani mkwewe mtarajiwa yupo na ameonesha dhamira ya dhati ya kumuoa bintiye.

Akishusha ‘vesi’ mara baada ya kuulizwa kuhusu mustakabali wa penzi la mwanaye, mama huyo alisema hana wasiwasi kama wazazi wengine wanavyokuwa na hofu.

“Sina hofu kama wazazi wengine. Nasubiri ndoa tu hakuna cha nini wala nini, mkwe wangu yupo makini na hana longolongo,” alisema mama Lulu bila kumtaja jina mkwewe.

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364