-->

Martin Kadinda Aanika Kinachomponza Wema Sepetu

MWANAMITINDO Martin Kadinda, amefunguka kuwa kinachomponza Wema hadi ajikute anaingia kwenye misala mbalimbali ya kipolisi ni watu wanaomzunguka.

Wema Sepetu akiwa na Martin Kadinda

Kadinda ambaye pia ni meneja wa msanii huyo, alisema ili Wema aweze kufanikiwa maishani, hana budi kuwaweka pembeni baadhi ya marafi ki ambao wana tabia chafu kwani mara nyingi wamekuwa wakimsababishia matatizo mbele ya jamii.

“Siwezi kuwataja majini lakini Wema mwenyewe naamini anawajua marafi ki zake ambao si wazuri, wanaomwingiza kwenye majanga mara kwa mara, ni vyema akaachana nao ili ‘kumaintain’ heshima ya jina lake,” alisema Kadinda.

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364