-->

Muhogo Mchungu Alia na Mitandao

Msanii mkongwe wa maigizo nchini Muhogo Mchungu amelalamikia watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa vijana kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

muhogo

Muhogo Mchungu

Muhogo Mchungu ameyasema hayo katika mahojiano na Enews na amewataka wazazi wajiunge na mitandao hiyo ya kijamii ili waweze kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao hiyo kwa kufuatilia matumizi ya watoto wao.

Muhogo alisema kuwa yeye hasapoti kabisa uchafu unaofanyika katika mitandao na hata katika maisha yake ya kawaida hayupo karibu na watu wenye tabia chafu katika jamii.

eatv.tv

FANYA BISHARA YA KUUZA FILAMU KUTOKA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT

PIGA NAMBA HIZI: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364