-->

Mzee Majuto: Filamu Yangu Ijayo ni Zaidi ya Zilizopita

Msanii wa filamu za kuchekesha Bongo, King Majuto amesema kuwa filamu yake mpya ijayo ni zaidi ya filamu zake zilizopita.

majuto11

King Majuto

Akiongea na Times FM, “Hii ina ujumbe wa kuelimisha jamii kuachana na mambo Ambayo hayana manufaa kwa maisha ya sasa na nimewashirikisha wasanii mbalimbali maarufu.”

Aidha Majuto amefafanua kuwa sababu ya kuchelewa kuiachia filamu hiyo kama alivyopanga ni kutokana na kuupisha mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364