-->

Ray Kumfuata Chuchu kwa Dini Yake!

BAADA kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu nyota wawili katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hansy , Chuchu anafunguka kwa kusema kuwa mpenzi wake huyo yupo mbioni kubadili dini na kumfuata yeye kwani tayari anafunga naye mwezi huu mtukufu.

Chuchu akiwa na mpenzi wake Ray.

Chuchu akiwa na mpenzi wake Ray.

“Ray ananisupport kufunga mwezi huu yupo sambamba nami kufuata taratibu za kidini hivyo Inshallah tukijali siku si nyingi atabadili dini na kufunga ndoa lazima anifuate mimi,” anasema Chuchu Hansy
Chuchu aliyasema hayo akiongelea filamu yake mpya anayotarajia kuingiza sokoni ya Usiku wa Daku ikiwa ni sinema ya Kidini akiwa ameitengeneza kwa kusaidiwa na Ray sinema hiyo imemshirikisha Hemed Suleiman na wasanii wengine.

FC

NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

KAMA WEWE NI MFANYA BIASHARA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA FILAMU POPOTE PALE:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364