-->

Rich Mavoko: Afunguka Kuhusu Kufikisha Muziki ‘Level’ zingine

Mkali wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambae amesain mkataba na WCB-WASAFI hivi karibuni na sasa ngoma zake zote zitatoka chini ya lebo hiyo na kusema kuwa wasani wanaweza kufanya kazi pamoja na kuufikisha muziki wa Bongo sehemu fulani.

mavoko24

Rich Mavoko

‘’Nimependa sana nilivyosaini na inaonekana kabisa vijana tunaweza kufanya kazi pamoja na kufanya muziki wetu kufika sehemu fulani, unajua nilipoletewa jambo hili kwa mtu mwenye upeo mdogo anaweza kusema tunaenda kufanya kitu kibaya au naenda kuwa chini ya mtu,yalikuja maneno mengi sana yaliyoongelewa kwangu lakini naangalia biashara na mwisho wa siku kila mtu aingize kipato’’ Alisema Mavoko.

Cloudsfm

NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

KAMA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA FILAMU POPOTE PALE:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364