-->

Shilole Atoa ya Moyoni..

MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohammed maarufu kwa jina la Shilole ametoa kauli ngumu wakati wa sherehe yake iliyofanyika usiku wa kuamkia jana Jumatatu, akisema watu wengi walikuwa wakidhani kwamba hamaanishi kuhusu kufunga ndoa na mpenzi wake Uchebe na kuwataka sasa waamini uamuzi wake huo.

“Namshukuru Mungu nimepata mume anayeijua dini, amenifichia aibu yangu. Watu wasidhani kila jambo ni utani, mimi nilikuwa namaanisha. Sasa waelewe kwamba hata ‘kicheche’ huwa anaolewa, wasichukulie maisha yangu niliyokuwa ninaishi, kwa sasa nimepata mume na ninampenda sana,” alisema Shilole.

Vee Money na Jux Walichokifanya, Shilole Hatasahau!

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364