-->

Irene Uwoya ampa onyo Dogo Janja”Thubutu uone”

Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na taarifa kuwa msanii Dogo Janja ana mpango wa kuongeza mke wa pili baada ya kufunga ndoa na muigizaji Irene Uwoya ambapo ndoa hiyo ilifungwa mwaka jana 2017 ingawa mashabiki hadi sasa hawaamini kuhusu ndoa hiyo.

Kupitia mtandao wa instagram wa Irene Uwoya ameonekana kupata taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mume wake Dogo Janja kuwa ana mpango wa kuoa mke wa pili na hivyo kumpa onyo pale atakapothubutu kufanya hivyo.

“Ndio utajua mimi kabila gani thubutu uone tena wasikudanganye @dogojanjatz“

Comments

comments

Post Tagged with ,

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364