-->

Shilole: Kuengea Kingereza ni Kipaji

Msanii wa Bongo fleva Shilole a.k.a Shishi Baby amekiri kwamba kuzungumza lugha ya kingereza ni kipaji na wala si hivi hivi tu na amesema yeye anajua kuongea vizuri kingereza ila anapenda kuongea kingereza kibovu ili kuchekesha watu tu.

SHILOLE12

Na hii ni baada yakuonekana katika mitandaoni mbalimbali ya kijamii akijaribu kwa juhudi zote bila mafanikio kuzungumza lugha hiyo huku ikibaki kuwa kama burudani kwa watu wengine.

“Si munaonaga wenyewe muda mwingine nisipoongea kiswangilishi changu watu wanaanza kunitafuta shishi plizi ongea bhana tunataka uongee”,alisema Shilole.

eatv.tv

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364