-->

Tag Archives: DUDUBAYA

Wanaosema Nimefulia ni Mamluki na Kenge -Du...

Post Image

Msanii Dudu baya amewalalamikia Watanzania na kusema kuwa hawafikirii kitu kingine cha msingi pale msanii anapokuwa kimya, na badala yake wanakimbilia kusema msanii huyo amefulia. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Dudu baya amesema mashabiki weni ndio wa kwanza kulaumu kuwa wasanii wa Tanzania hawana elimu, hivyo wakikaa kimya ili kufanya […]

Read More..

Nitamdunda Shetta Zaidi ya Mr Nice – ...

Post Image

Msanii wa muziki Dudubaya amefunguka na kusema kuwa msanii Shetta asitake kumchokoza na kumrudisha katika enzi za nyuma cha msingi anataka aache mara moja kutumia jina lake la Mambaambalo yeye ndie alianza kulitumia toka mwaka 2007. Dudubaya alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo na kusema kuwa Shetta kwake ni kama mjukuu tu kwani yeye […]

Read More..

Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya amemtaka Shetta kuacha kutumia jina la ‘Mamba’ kwani hiyo ni ‘aka’ yake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka mingi. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Dudu Baya alisema anaomba Shetta aache mara moja kutumia jina hilo ili yasije yakatokea kama ya Mr Nice. “Shetta ni kama mdogo […]

Read More..