Mwakifwamba : Sitowaangusha Wazee Wangu, Ag...

MGOMBEA wa nafasi ya Urais wa shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amefunguka kwa kusema kuwa hatawaangusha wazee waliomwamini na kumuomba agombee tena uongozi TAFF baada ya kuwa na imani naye hivyo hata waangusha bali atafanya kazi kwa nguvu. “Ikumbukwe nilipanga mwaka huu kupumzika na kuangalia mambo ya kifamilia zaidi lakini wazee wangu ambo […]
Read More..