-->

Uzinduzi wa Tanzanite International Film Festival

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye Jumapili hii mkoani Arusha amezindua tamasha kubwa la Kimataifa la Filamu, ‘Tanzanite International Film Festiva’.

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (mwenye kaunda suti ya kijivu) akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndugu Felix Ntibenda kwenye picha ya pamoja na viongozi pamoja na wadhamini kwenye uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Filamu la Tanzanite.

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (mwenye kaunda suti ya kijivu) akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndugu Felix Ntibenda kwenye picha ya pamoja na viongozi pamoja na wadhamini kwenye uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Filamu la Tanzanite.

Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa filamu waliohudhuria uzinduzi wa tamasha hilo, kuwa hii ni moja ya hatua kubwa kwenye historia ya filamu nchini na kuahidi Wizara yake itaendelea kutoa ushirikiano mkubwa na kuhakikisha haki za wasanii hazipotei wala haziliwi na wajanja.

Yvonne Cherry ‘Monalisa’ pamoja na mama yake, Suzan Lewis ‘Natasha’ (katikati) wakifuatilia sherehe uzinduzi wa Tamasha la Filamu la Kimataifa la Tanzanite kwenye hotel ya Mt. Meru.

Yvonne Cherry ‘Monalisa’ pamoja na mama yake, Suzan Lewis ‘Natasha’ (katikati) wakifuatilia sherehe uzinduzi wa Tamasha la Filamu la Kimataifa la Tanzanite kwenye hotel ya Mt. Meru.

Tamasha hilo litakuwa chachu kwa tasnia ya filamu Tanzania kwa kuwa ni kwa muda mrefu walikosa matamasha ya namna hiyo ambayo husaidi kutangaza filamu.

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364