-->
Ernest Napoleon
Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon, amechukuliwa kusimamia kampuni ya kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais.
Bongo5
comments
Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364
Monalisa kuipeleka tuzo ya APA Bungeni
Monalisa kuwabwaga kina Lupita Nyong’o?
Wema, Diamond masaprize kibao
Duma Kuirudisha Bongo Muvi