Wasanii Watoa Neno Siku ya Wanawake Duniani
IKIWA leo ndiyo maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani, wasanii wa kike wameeleza mambo mbalimbali kuhusiana na siku hiyo huku wakiwataka wanawake wenzao kuwa na msimamo katika kuendesha maisha yao. Anty Ezekiel Mwigizaji huyo wa filamu za Bongo amewataka wanawake wenzake waache utegemezi kwa wanaume wao. “Kuna biashara nyingi za kufanya, unaweza kuuza hata vitumbua […]
Read More..





