Davina: Naanzaje Kwenda kwa Sangoma kwa Mfa...
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ juzikati alimjia juu mmoja wa mashabiki wake aliye-comment kwenye ukurasa wa msanii huyo wa Instagram kuwa alimuona akiingia kwa mganga wa kienyeji maeneo ya Kawe jijini Dar. Davina alisema, amejikuta akiumia sana kwani yeye si mtu wa mambo hayo huku akihoji anaanzaje kwenda kwa sangoma wakati imani […]
Read More..





