-->

Daily Archives: April 7, 2016

Zijue Hapa Baadhi ya Kazi Alizofanya za Mar...

Post Image

Aliyekuwa mwigizaji wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba leo ametimiza miaka minne tangu alipofariki dunia April 7 mwaka 2012. Historia ya Hayati Steven Kanumba. Amezaliwa: Januari 8 1984 Shinyanga,Tanzania Amekufa: Aprili 7, 2012 Dar es Salaam,Tanzania Kazi yakeMuigizaji,Mtunzi,Mtayarishaji,Muongozaji Steven Charles Kanumba(8 Januari1984,Shinyanga-7 Aprili2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchiniTanzania. Katika historia ya tasnia […]

Read More..

Picha: Mastaa Wajitokeza Kumuenzi Steven Ka...

Post Image

NA DENIS MTIMA/GPL

Read More..

Kanumba Kafa na Sanaa Imekufa – Steve...

Post Image

Muigizaji wa Filamu Steve Nyerere amefunguka ya moyoni kuhusu kifo cha marehemu Steven Kanumba na kufa kwa tasnia ya filamu nchini, ambayo wasanii wengi wamekuwa wakipinga kauli hiyo. Katika ukurasa wake wa instagram Steve Nyerere amepost picha ya marehemu Steven Kanumba akikumbuka kifo chake na kuandika ujumbe akisema kuwa muigizaji huyo nguli, ameondoka na sanaa […]

Read More..

Juma Nature Amuonya KR Kuhusu Kubwia ‘Unga’

Post Image

Kwenye mahojiano ya mwisho kati ya KR Mulla na eNewz, KR alijitambulisha kama Raisi wa Radar Entertainment, ambayo inamilikiwa na TID, na siku za karibuni TID na KR wameonekana kuwa marafiki ukiachilia mbali kufanya kazi pamoja ndani ya Radar Entertainment. Juma Nature ambaye aliwahi kufanya muziki ndani ya kundi la Wanaume Family pamoja na KR […]

Read More..

Riyama Awapa Makavu Wanaoponda Mahusianio Y...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Riyama Ally ambaye siku za karibuni ametolewa mahali na msanii wa muziki wa kizazi kipya Leo Mysterio amevunja ukimya kwa watu ambao wamekuwa wakisema kuwa anatoka na dogodogo huyo. Riyama amesema kuwa wanataka atoke na mzee ndiyo wamuone kuwa ana heshima. Kupitia kipindi cha eNEWS kinachorushwa na EATV Riyama amesema kuwa […]

Read More..

Miaka 4 ya Kifo cha Kanumba, Hii Ndiyo Hali...

Post Image

Hii ndiyo hali halisi! Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambapo ametimiza miaka minne kaburini, mambo mbalimbali yametokea tangu alipofariki dunia huku magari na kampuni aliyokuwa akimiliki vikiwa vimepukutika kama majani. Kanumba alifariki dunia Aprili 7, 2012 maeneo ya Vatcan-Sinza jijini Dar nyumbani kwake […]

Read More..