AMINI Atoboa Kile Kinacho Sababisha Wasanii...
ALIYEWAHI kuwa mchumba wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’ amesema makundi mabaya wanayokuwa nayo baadhi ya wasanii ndiyo yanayowaingiza katika matumizi ya dawa za kulevya Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Hawajui’ alisema wasanii wengi hawajitambui kutokana na makundi waliyonayo, ndiyo maana hushindwa kusimamia hata kazi zao za muziki […]
Read More..





