-->

Steve Nyerere Kutoa Movie Moja tu Mwaka Huu

Mchekeshaji na staa wa Bongo Movies, Steve Nyerere ameibuka na kusema mwaka huu atatoa filamu moja tu.

STEVE345

Steve Nyerere amesema anawashangaa wasanii wanaotoa movie nyingi lakini hazina ubora.

Amesema “Kuna watu wanatoa movie mpaka tatu kwa mwaka lakini zote ni mbovu”. Steve ameahidi kuwa movie hiyo atakayoitoa itakuwa ni kali sana.

Steve aliongea hayo na eNewz ya EATV

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364