Rose Ndauka Asema Aliumia Kuachana na Mpenz...
Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema hakuna kitu kilimuumiza katika maisha yake kama kuachana na mpenzi wake Malick Bandawe aka Chiwaman, siku chache kabla ya ndoa yao kufanyika. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Rose Ndauka amesema aliumia kwa sababu alishatangaza kwa watu, kwamba anatarajia kufunga ndoa. “Kiukweli iliniumiza sana, kwa sababu mpaka tumefikia hatua tufunge […]
Read More..





