-->

Daily Archives: November 30, 2016

Steve Nyerere Amponda Eric Omondi

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania Steve Nyerere  amesema anahitajika mtu wa kuweza kusimamia mambo ya maigizo, ngumi na michezo ya mpira ili kusogeza tasnia hizo na siyo watu wa kujiangalia wao binafsi. Akiongea na eNewz Steve amesema hajaona kitu ambacho Eric Omondi anamzidi kwa kuwa kazi nyingi za Omondi huwa anakopi nyimbo za watu na ‘kujipromoti’ kwa nguvu ila […]

Read More..