“Video Queens’ Wanataka Umaaruf...
Hayo yameelezwa na wadau mbali mbali walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu wasichana wanaofanya kazi hiyo kwenye kipindi cha PlanetBongo kinachorushwa na East Africa Radio. “Mi naitwa Abduli naishi mwenge, kwangu mimi ninavyojua video models bongo kwa malipo hawalipwi vile wanavyopaswa, ila wanachokifaidi ni umaarufu kwa hiyo unakuta mtu anajitolea kufanya kazi na msanii fulani kwa […]
Read More..





