-->

Hivi Ndiyo Wema na Jokate Walivyopokelewa Stejini na King Kiba

Mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba juzi pande za Escape One, Mikocheni alifanya shoo ya kuwaaga mashabiki wake kwa mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka Mpya 2016 ambapo aliitambulisha rasmi bendi yake mpya iitwayo 4RealDancers.

Shangwe kubwa lilisikika pale  ambapo King Kiba alipowa ‘surprise’ mashabiki wake  kwakuwapandisha stejini mastaa warembo, Wema Sepetu na Jokate ‘Kidoti’ kama unavyoona kwenye picha hapo chini.

JOKATE345 JOKATE342
JOKATE432
WEMA33

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364