-->

Wanafunzi Wenzake Norah Waamsha Vilio Msibani

Dar es Salaam. Vilio na simanzi vimetawala kwenye msiba wa mtoto Norah Marealle baada ya kuwasili kwa wanafunzi wenzake wa Shule ya Atlas ya Ubungo jijini Dar es Salaam.

Wanafunzi hao waliwasili saa tano nyumbani kwa kina Norah eneo la Sinza Mori.

Nora ambaye amefariki dunia jumapili iliyopita huku kukiwa na madai kwamba alibakwa na kisha kunyongwa kabla la kufa, anazikwa leo baadaye katika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.


Picha na GPL

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364