-->

Wanawake Hatupendani Kabisa -Khadija Kopa

Msanii maarufu wa taarabu nchini Khadija Kopa amewaasa wanawake nchini kupendana na kusaidiana ili kuweza kupiga hatua za kimaendeleo.

KHADIJA KOPA

Kopa ameyasema hayo aliposhiriki katika kipindi cha wanawake live kinachorushwa na EATV ili kuwajengea wanawake ujasiri wa kutafuta na kuepuka utegemezi hapa nchini.

”Wanawake hatupendani mimi ni mwana siasa nikiwa kwenye kura hatua za kupigiwa kura wanaume wananipa kura nyingi sana ila nikigeukia upande wa wanawake nakosa kura kabisa tena wengine wanasema huyu hana hela”

Msanii huyo ameongeza kuwa ”Wanawake tusapotiane ukiona mwezako anafanya kazi nzuri muunge mkono kuliko kurudishana nyuma na kukatishana tamaa sisi kwa sisi”.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364