-->

Wastara: Sajuki Hakusema Nisiolewe,Ila Aliogopa ….

WASTARASAJUKI

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunga ndoa hivi karibuni na Mwenyekiti wa UVCCM na mbunge wa Donge, Sadifa Juma,ameolewa mke wa pili.

‘Ndoa haina ghafla unaweza ukapanga usiku asubuhi ukaolewa,sema tu wageni waalikwa hawakuwa wa kutosha,uzuri kwamba mke mwenzangu alikuwa ananijua kabla sijaolewa,sikutaka kuolewa na mwanaume kabla mkewe hajanijua na sijaolewa mke wa nne ninayemjua ni mmoja tu, na tunapendana na mke mwenzangu,lakini hatuishi nyumba moja,’

‘’Sajuki hakusema nisiolewe alichosema ni kuwa anaogopa nikiolewa nitateseka,nilipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu (CCM)nilikuwa sitizami watu nadhani yeye aliniona kitambo na sio kwenye kampeni ananijua kwa mujibu wa maelezo yake ananifahamu vizuri,nilimpa masharti yangu nikamkaribisha nyumbani tukafunga ndoa,’’Alisema Wastara.

Cloudsfm.com

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364