Taarifa kutoka Hospitali aliyopo Wastara ku...
![Post Image](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/thumb-cache/wasta-300x300-b60f148a04e1ab1ea7938dfad8f6a643-224x145-100-crop.jpeg)
February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu. Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana […]
Read More..