-->

Tag Archives: WASTARA

Taarifa kutoka Hospitali aliyopo Wastara ku...

Post Image

February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu. Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana […]

Read More..

Siku Ya Leo Jinsi Ilivyokumbukwa na Wastara

Post Image

Kwa upande wa muigizaji Wastara Juma yeye amesema huwa anaitumia siku ya leo kwa kuangalia picha za aliyekuwa mume wake Sajuki Kilowoko amabaye alifariki  January 2, katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu. Katika ukurasa wake wa Instagram Wastara ameandika “Naweza nikawa nakosea sana lakini sina jinsi ni mapenzi ya […]

Read More..

Picha: Kitao cha Maandalizi ya pati ya was...

Post Image

Kikao cha kwanza cha maandalizi ya part yangu ya pongezi kwa mengiiiiii niliyopitia Mpka hapa nilipofikia Na kuna wale waliokosa mengiii yangu awakufanikiwa kuhudhuria basi Nimeamua kuandaa hii part kwa ajili ya wasaniii wenzangu ndugu zangu marafiki zangu na wengineo wengiiii waliyo tayari kuwa pamoja nami ikifika wakati moyo unahitaji furaha na nafasi ya kuipatia […]

Read More..

Karibu Dar ya Wastara Yaja kwa Kasi

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam.   “Sinema ya Karibu Dar inatarajia kuingia siku […]

Read More..

Wastara: Nakuja Kivingine

Post Image

MSANII wa filamu Wastara Juma ambaye hivi sasa anapata matibabu ya mguu wake nchini India, amedai akirejea nchini, atakuja kivingine katika kazi zake za uigizaji. Akizungumza kwa njia ya simu akiwa huko, Wastara alisema anam shukuru Mungu kwani anaendelea vizuri na matibabu, lakini akawaahidi mashabiki wake vitu vipya kwani safari yake huko imemuo ngezea ubunifu. […]

Read More..

Picha: Wastara Akifanya Mazoezi Nchini Indi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ambaye yupo  nchini India kwa matibabu amebandika picha hizi kwenye ukursa wake mtandaoni akiwa anafanya mazoezi ya kutembea kama anavyonekana hapo chini.

Read More..

Wastara Atengwa Bongo Muvi

Post Image

DAR ES SALAAM: Baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kufunga ndoa na mheshimiwa Sadifa Juma, anadaiwa kutengwa na wasanii wenzake wa Bongo Muvi hasa wale waliokuwa karibu naye katika zoezi la kumchangishia fedha za matibabu aliyokuwa akitarajia kwenda kuyafanyiwa nchini India. Sosi wa ndani ya Bongo Muvi alilinyetishia Ijumaa kwamba, baadhi ya […]

Read More..

Wastara: Sajuki Hakusema Nisiolewe,Ila Alio...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunga ndoa hivi karibuni na Mwenyekiti wa UVCCM na mbunge wa Donge, Sadifa Juma,ameolewa mke wa pili. ‘Ndoa haina ghafla unaweza ukapanga usiku asubuhi ukaolewa,sema tu wageni waalikwa hawakuwa wa kutosha,uzuri kwamba mke mwenzangu alikuwa ananijua kabla sijaolewa,sikutaka kuolewa na mwanaume kabla mkewe hajanijua na sijaolewa mke wa nne […]

Read More..

Wastara Ampa Masharti Magumu Bond

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amempa wakati mgumu aliyekuwa mwandani wake ambaye pia ni meneja wake, Bond Bin Suleiman kuwa kama bado anataka waendelee kufanya kazi pamoja asiendekeze wivu baada ya yeye kuolewa. Wastara aliyeolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis alisema kuwa ni ukweli […]

Read More..

Wastara: Mimi na Mke Mwenza Shega Tu

Post Image

Picha ya pamoja Wastara sajuki akiwa na mke mwenzie. Wastara akiwa na mke mkubwa baaada ya harusi.. Adai watu msiumize kichwa mke mkubwa kampokea vizuri kwa mikono miwili na wanajuana na kuheshimiana. By Amavubi on JF

Read More..

Ndoa ya Wastara Bond Nusu Afe!

Post Image

DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita siku chache tangu staa wa filamu, Wastara Juma kufunga ndoa na Mbunge wa Jimbo la Donge,  Zanzibar, Sadifa Juma aliyekuwa mpenzi wake, Bond Suleiman nusu afe, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili. Wakizungumza na gazeti hili, ndugu wa karibu wa kijana huyo ambaye pia ni muigizaji (jina linahifadhiwa) alisema siku moja […]

Read More..

Mazito Yaibuka Ndoa Mpya ya Wastara

Post Image

Dar es Salaam: HAYA ni mazito! Nyuma ya shughuli ya kuolewa kwa staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma iliyofungwa Alhamisi iliyopita, kuna matukio ya kustaajabisha ambayo Ijumaa Wikienda limeyabaini. Ndoa hiyo iliyofungwa kimyakimya, ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji huyo, Tabata-Barakuda, jijini Dar […]

Read More..

Mguu Wamzima Stara Kisiasa

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Stara Thomas, amesema kuwa aliyokuwa amepata katika mguu imezima ndoto yake ya kuingia katika siasa katika kipindi cha uchaguzi kilichopita. Stara aliyekuwa na mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum huko Mwanza ambapo ni nyumbani kwao, katika mahojiano aliyofanya na Planet Bongo ameeleza kuwa, harakati za kisiasa zinahitaji mtu […]

Read More..

Picha 10 za Harusi ya Wastara na Mh Sadifa ...

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma Alhamisi ya wiki hii, alifunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Read More..

Wastara Afunga Ndoa na Mbunge wa CCM usiku ...

Post Image

Mbali na sakata la kutaka kubomolewa kwa nyumba zake mbili zilizowekwa X kuwa bado halijapoa, Muigizaji Wastara Juma, jana usiku amefunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hongera sana Wastara. Eatv on facebook

Read More..

Nyumba Mbili za Wastara Kupitiwa na Bomoa B...

Post Image

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma amejikuta katika wakati mgumu tena baada ya nyumba zake mbili kupitishiwa X kwaajili ya kubomolewa siku zijazo. Katika ukurasa wake wake wa Facebook, Wastara ameandika: Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu nyumba zangu mbili zimewekwa X na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana Akiongea […]

Read More..

Wastara Ndoa Tena!

Post Image

BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo […]

Read More..

Wastara: Nahisi Mauti Yapo Karibu Yangu

Post Image

Soma vizuri ili uelewe vizuri Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpka mda huu Sina budi kusema hya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari Mungu alinipa mtu wa kunipa furaha couz kilakitu Alhamdulilah nilikuwanacho kulingana na nafasi yangu […]

Read More..