Khadija Kopa Adai Umri Unamtupa Mkono, Ajip...
p>Malkia wa muziki wa taarab nchini, Khadija Kopa amesema kwa sasa anajipanga kuwekeza zaidi kwenye biashara kwa kuwa umri wa kuimba unamtupa mkono. Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Ijumaa iliyopita, Khadija amesema moja ya biashara kati ya zile ambazo anatarajia kuzifungua ni mgahawa. “Hivi sasa nampango wa kufungua mgahawa mkubwa, nataka nifungue na […]
Read More..





