Wake Zangu Wananivuruga Akili-Mzee Yussuf
Mkurugenzi wa Kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yussuf amesema hakuna kitu kinamuumiza kichwa kama kutoelewana kwa wake zake wawili. Akizungumza katika kipindi cha Sporah Show cha Clouds TV, Mzee Yussuf amesema anapitia wakati mgumu sana kuwamiliki wake wawili anaowapenda wakati wao hawapendani. “Kusema kweli napata wakati mgumu kuwahandle, yanii linanivuruga sana hili swala,” […]
Read More..





