Picha: Ajali Aliyoipata Msanii Tunda Man Ir...
Staa wa bongo Fleva,Tunda Man amepata ajali mapema hii leo huko mkoani Iringa. Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema ‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe saa 10 alfajiri mimi nikawa nasikia usingizi nikamwambia mwanangu hebu tuendeshe kidogo,kufika kijiji cha Idetelo kilomita kama 20 au […]
Read More..





