Subirini Ngoma ya East Coast Team – M...
Msanii mwana FA ameelezea sababu za kuvunjika kwa kundi la East Coast Team na kutoa taarifa za kurudi kwake, na kuwataka mashabiki wakae tayari kwa muda wowote kupata kazi kutoka kwao. Mwana FA ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, na kusema kuwa majukumu ndiyo yalifanya kundi hilo kusambaratika kikazi, lakini kwa […]
Read More..





